![]() |
Nao baadhi ya wanawake wilayani Ngara waliozungumza na
Redio Kwizera wamesema wanaume wasiwe na mitazamo hasi juu ya usawa wa kijinsia
bali washirikiane katika kufikia maendeleo.
Baadhi ya
wanawake pamoja na wadau wa maendeleo wilayani Ngara leo wamekutana katika
ukumbi wa halmashauri kujadiliana namna ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani
ambayo hufanyika Machi 8 ya kila mwaka na kwa mwaka huu inaongozwa na kauli
mbiu isemayo ‘BADILI
FIKRA KUFIKIA USAWA WA KIJINSIA KWA MAENDELEO ENDELEVU’
|
0 Comments