![]() |
Ndege wanaopatikana katika Pori la Akiba Burigi
mkoani Kagera.
Pori la Akiba Burigi lina
ukubwa wa kilomita za mraba 2,941 katika wilaya za Karagwe, Muleba na Ngara
mkoani Kagera.
|
Viboko nao
wanapatikana katika pori hilo ndani ya Ziwa Burigi.
Ikumbukwe
kuwa mapema mwaka huu, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangala alitangaza kuanza mchakato wa kuyapandisha
hadhi Mapori ya Akiba ya Burigi, Kimisi,
Biharamulo, Ibanda na Rumanyika kuwa Hifadhi za Taifa.
|
0 Comments