![]() |
Pichani ni Mkuu wa mkoa Shinyanga Bi.Zainabu Terack akitembea kwaajili ya kukagua miradi ya maendeleo ya vijana.
Aidha mkuu wa mkoa Shinyanga Bi.Zainabu Terack
amesema kuwa fedha hizo zinatakiwa kutumika kwa malengo yaliyo kusudiwa ikiwa ni pamoja na kutoa mikopo kwa vijana wao
katika vikundi.
“Niwaombe
viongozi wa Saccoss hii fedha zitumike katika malengo yaliyo kusudiwa lakini
pia mkopo itolewe kwajina walio katika vikundi vya uzalishaji mali”Amesema
Bi.Zainabu Terack.
|
0 Comments