
Mkurugenz wa
Halmashauri ya Sengerema mkoani Mwanza Magesa
Mafuru Boniface akipokea zawadi
ya Vikombe kutoka Timu ya UMISETA 2018 ya Halmashauri hiyo mara baada ya
kurejea kutoka kwenye michezo ya UMISETA ngazi ya mkoa wa Mwanza.
Picha Na- Erick Ezekiel –Radio Kwizera SENGEREMA.


Halmashauri ya Sengerema imeshika nafasi ya pili Katika
matokeo ya Jumla ikitanguliwa na Halmashauri ya Nyamagana iliyoongoza kimkoa
Kati ya HalmashaurI 8 za Mkoa wa Mwanza.
Mwenye kofia
ya njano ni Afisa Michezo wa Halmashauri hiyo na Mwenye traksut ya Bluu ni
Afisa Utamadun.


0 Comments