
Shimo hili/Tundu
hilo lipo katikati ya Barabara itokayo Muleba mjini ikielekea Kata ya Ikondo na
Kata ya Buhangaza wilayani Muleba mkoani Kagera hali inayopelekea hali ya
hatari kwa wanaotumia vyombo vya moto kupita barabara hiyo.
Shimo hilo
limesababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Muleba mkoani Kagera.
Naimani Wakala
wa Barabara Mijini na Vijijini TARURA wilayani Muleba mtaiona barabara
hiyo na kuchukua hatua ya kuitengeneza kwa haraka.
Picha Na
Shafiru Yusuf –RADIO KWIZERA –Muleba.
0 Comments