![]() |
Troy Gentry alikuwa amepangiwa
kutumbuiza Medford Ijumaa jioni.
Mwanamuziki mwingine wa country
kutoka Marekani Troy Gentry, pia amefariki, akiwa na miaka 50.
"Ni kwa huzuni kubwa ambapo
tunathibitisha kwamba Troy Gentry, mmoja wa wanamuziki wawili wa country
waliofahamika kama Montgomery Gentry amefariki katika akjali ya helikopta
ambayo ilitokea mwendo wa saa saba mchana Medford, New Jersey," taarifa
kwenye tovuti ya bendi hiyo ya wanamuziki wawili imesema.
Chanzo cha ajali hiyo hakijabainika.
Wawili hao walikuwa wamepangiwa
kutumbuiza Medford Ijumaa jioni.
Habari-BBC Swahili.
|
0 Comments